Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 1:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Mambo hayo yaliendelea kila mwaka. Kila mara Hana alipokwenda kwenye nyumba ya Yawe, Penina alimukasirikisha Hana hata Hana akalia na kukataa kula chochote.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 1:7
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku zangu zinapita kama moshi; mifupa yangu inaungua kama katika furu.


Nimepondekana kama majani na kunyauka; sina hata hamu ya chakula.


mbele hata mutu yeyote hajajua habari hizo, kulifika watu makumi nane kutoka Sekemu, Shilo na Samaria. Walikuwa wamenyoa ndevu zao na wamevaa nguo zilizotatuka na miili yao imechanjwachanjwa. Walileta sadaka ya ngano na ubani vitolewe katika nyumba ya Yawe.


Penina alikuwa akimuchokoza sana Hana kusudi amukasirikishe kwa sababu Yawe hakumujalia Hana watoto.


Mume wake Elekana alimwuliza: “Kwa nini unalia? Kwa nini hautaki kula? Kwa nini una huzuni ndani ya moyo wako? Basi, mimi si bora kwako kuliko watoto kumi wa kiume?”


Halafu Hana aliomba na kusema: Ninamushangilia Yawe ndani ya moyo wangu. Ninamutukuza Yawe anayekuwa nguvu yangu. Ninawachekelea waadui zangu; maana ninaufurahia wokovu wako.


Kila mwaka mama yake alimufumia nguo ndogo, na kumupelekea alipokuwa akienda na mume wake kutolea sadaka ya kila mwaka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ