Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 1:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Nilimwomba anipe mutoto huyu, na yeye alinipa kile nilichomwomba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 1:27
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Yebesi alimwomba Mungu wa Israeli akisema: “Ee Mungu, ninakusihi unibariki na kupanua mipaka yangu. Mukono wako ukuwe pamoja nami na unilinde kutokana na jambo lolote ovu, na mateso yasinipate.” Naye Mungu akamupa yale aliyoomba.


Katika taabu yangu nilimwomba Yawe, naye akanisikia na kuniweka huru.


Wimbo wa safari za kidini. Katika taabu yangu nilimwita Yawe, naye akanijibu.


Muondoke karibu nami, enyi wote watenda maovu! Maana Yawe amesikia kilio changu.


Muda wote atakaokuwa munaziri atakuwa mutakatifu kwa Yawe.


“Muombe, nanyi mutapewa; mutafute, nanyi mutapata; mupige hodi, nanyi mutafunguliwa mulango.


Basi, ikiwa tunajua kwamba anatusikiliza wakati tunapomwomba, tunajua vilevile kwamba anatupatia chochote tulichomwomba.


Eli aliwabariki Elekana na muke wake, akisema: “Yawe akupe wewe Elekana watoto wengine kwa mwanamuke huyu kusudi wakamate nafasi ya yule uliyemupa Yawe.” Kisha wao walirudi kwao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ