Lameki akawaambia wake zake: “Ada na Sila musikie sauti yangu! Musikilize maneno ninayosema enyi wake za Lameki. Maana niliua mutu kwa sababu ya kunipiga, nilimwua kijana kwa kuniumiza.
Kulikuwa vilevile nabii mumoja mwanamuke, aliyeitwa Ana, aliyekuwa binti ya Fanueli, wa kabila la Aseri. Yeye alikuwa muzee sana. Aliishi miaka saba na mume wake tangu alipoolewa.