1 Benjamina alizaa wana hawa: Bela, muzaliwa wake wa kwanza; Asibeli, wa pili; Ahara, wa tatu;
Wana wa Benjamina walikuwa Bela, Bekeri, Asibeli, Gera, Namani, Ehi, Rosi, Mupimu, Hupimu na Ardi.
Hao wote walikuwa wazao wa Aseri na walikuwa wakubwa wa jamaa zao, watu wafundi na hodari wa vita. Hesabu ya wale walioandikwa kwa kufuata ukoo katika kundi la waaskari ilikuwa elfu makumi mbili na sita.
Noha, wa ine; na Rafa, wa tano.
Kabila la Benjamina lilikuwa na jamaa za Bela, Asibeli, Ahiramu,