1 Mambo ya Siku 7:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Bela alikuwa na wana watano: Esiboni, Usi, Usieli, Yeremoti na Iri. Hawa walikuwa viongozi wa jamaa zao, na waaskari mashujaa. Walioandikwa kwa kufuata ukoo na hesabu ya wazao wao ilikuwa elfu makumi mbili na mbili na makumi tatu na wane. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |