Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Mambo ya Siku 7:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Mwana wa Usi alikuwa: Isirahia. Wana wa Isirahia walikuwa: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Isia. Wote watano walikuwa wakubwa wa jamaa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Mambo ya Siku 7:3
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hawa ndio waliokuwa wakubwa wa ukoo za kabila lile: Eferi, Isi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia na Yadieli. Wote walikuwa waaskari shujaa, watu wenye heshima sana na viongozi katika ukoo hizo.


Kwa vile wake na watoto wao walikuwa wengi sana, walikuwa na wanaume elfu makumi tatu na sita wanaoweza kuenda kwa vita.


Wana wa Uzieli walikuwa: Mika mukubwa wao, na Isia wa pili.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ