Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Mambo ya Siku 7:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Supimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri. Husimu alikuwa mwana wa Aheri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Mambo ya Siku 7:12
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Makiri alizaa Hupimu na Supimu. Jina la dada yake lilikuwa Maka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Zolofehadi. Zolofehadi alikuwa na wabinti peke yake.


Wana wa Benjamina walikuwa Bela, Bekeri, Asibeli, Gera, Namani, Ehi, Rosi, Mupimu, Hupimu na Ardi.


Wote hawa walikuwa wakubwa wa jamaa katika ukoo zao na waaskari mashujaa wa vita. Kutokana na wazao wao, kulipatikana wanaume elfu kumi na saba na mia mbili, waaskari hodari tayari kabisa kwa vita.


Nafutali alikuwa na wana wane: Yazieli, Guni, Yereri na Salumu. Hao walikuwa wazao wa Biliha.


Benjamina alizaa wana hawa: Bela, muzaliwa wake wa kwanza; Asibeli, wa pili; Ahara, wa tatu;


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ