Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Mambo ya Siku 4:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kulikuwa mutu mumoja jina lake Yabesi, aliyeheshimiwa kuliko wandugu zake wote. Mama yake alimupa jina la Yebesi kwa sababu alizaa kwa maumivu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Mambo ya Siku 4:9
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha akamwambia mwanamuke: “Nitakuzidishia uchungu wa kuzaa, Utazaa watoto kwa uchungu. Utakuwa na hamu na mume wako, naye atakutawala.”


Kijana yule hakusita hata kidogo kutimiza sharti hilo, kwa vile alivyomupenda binti ya Yakobo, ingawa ni yeye ndiye aliyeheshimika kuliko wote katika nyumba yao.


Rakeli akiwa karibu kufa, akamupa yule mutoto jina Beni-oni. Lakini baba yake akamwita mutoto yule Benjamina.


Lakini Yebesi alimwomba Mungu wa Israeli akisema: “Ee Mungu, ninakusihi unibariki na kupanua mipaka yangu. Mukono wako ukuwe pamoja nami na unilinde kutokana na jambo lolote ovu, na mateso yasinipate.” Naye Mungu akamupa yale aliyoomba.


Hakosi alizaa Anubu na Zobeba, na ndiye aliyekuwa baba wa jamaa za wazao wa Aharheli mwana wa Harumu.


Halafu Efuraimu akalala na muke wake, naye akapata mimba na kuzaa mwana. Efuraimu akamupa jina la Beria, kwa sababu ya magumu yaliyopata jamaa yake.


Uwafurahishe baba na mama yako; mama yako aliyekuzaa afurahi.


Ninyi ni wa bei kali mbele yangu, ninawaheshimu na kuwapenda. Kwa hiyo, ninatoa watu kusudi niwapate ninyi, ninayaachilia mataifa pahali pa maisha yenu.


Watu hao walikuwa wenye nia nzuri zaidi kuliko watu wa Tesalonika; nao walipokea Neno la Mungu kwa hamu kubwa. Kila siku walichunguza Maandiko Matakatifu wapate kujua kwamba maneno Paulo aliyosema yalikuwa ya haki.


Naye akamwita mutoto wake Ikabodi, maana alisema: “Utukufu wa Mungu umeondolewa kwa Waisraeli”, akiwa na maana kwamba Sanduku la Agano lilikuwa limetekwa, tena baba mukwe wake na mume wake, wote walikufa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ