5 Asuri, mwanzilishi wa muji wa Tekoa, alikuwa na wake wawili: Hela na Nara.
Nyuma ya kufa kwa Hesironi, Kalebu akaoa Efurata, mujane wa baba yake Hesironi. Efurata akamuzalia Kalebu mwana jina lake Asuri, aliyekuwa mwanzilishi wa muji wa Tekoa.
Penueli alizaa Gedori na Ezeri, na Ezeri alizaa Husa. Hawa ndio wazao wa Huri muzaliwa wa kwanza wa Efurata, watu wa muji wa Betelehemu.
Nara akamuzalia wana wane: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Ahastari.