3 Wana wa Etamu walikuwa: Yezereheli, Isima na Idubasi. Walikuwa na dada mumoja aliyeitwa Hasilelponi.
Raya mwana wa Sobali, alizaa Yahati, aliyekuwa baba ya Ahumai na Lahadi, hizo ndizo jamaa za Wazorati.
Penueli alizaa Gedori na Ezeri, na Ezeri alizaa Husa. Hawa ndio wazao wa Huri muzaliwa wa kwanza wa Efurata, watu wa muji wa Betelehemu.
Betelehemu, Etamu, Tekoa,
Basi, watu elfu tatu wa Yuda wakamwendea Samusoni katika pango chini ya jiwe la Etamu wakamwambia: “Haujui kwamba Wafilistini wanatawala juu yetu? Angalia basi, jambo ulilotutendea!” Samusoni akawajibu: “Kama walivyonitendea ndivyo nilivyowatendea.”