2 Raya mwana wa Sobali, alizaa Yahati, aliyekuwa baba ya Ahumai na Lahadi, hizo ndizo jamaa za Wazorati.
Wana wa Yuda walikuwa: Peresi, Hesironi, Karmi, Huri na Sobali.
Wana wa Etamu walikuwa: Yezereheli, Isima na Idubasi. Walikuwa na dada mumoja aliyeitwa Hasilelponi.
Roho wa Yawe akaanza kumusukuma akiwa kule Mahane-Dani, kati ya muji wa Zora na wa Estaoli.