Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Zefania 2:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Muji wa Gaza utahamwa, muji wa Askeloni utakuwa tupu. Wakaaji wa Asidodi watafukuzwa muchana, na wale wa Ekroni wataongolewa.

Gade chapit la Kopi




Zefania 2:4
9 Referans Kwoze  

wageni wote walioishi katika inchi ya Misri; wafalme wote wa inchi ya Uzi; wafalme wote wa miji ya Wafilistini, Askeloni, Gaza, Ekuroni na mabaki ya Asidodi;


Wajane wao wamekuwa wengi kuliko muchanga wa bahari. Nao wamama wenye watoto vijana nimewaletea mwangamizaji muchana kati. Nimesababisha uchungu na vitisho viwapate kwa rafla.


Halafu watasema: Mujitayarishe, tupigane vita na Sayuni. Musimame, tuushambulie pa saa sita za muchana! Bahati mbaya kwetu, maana jua linatua! Saa za magaribi zinakaribia.


Hautaogopa ugonjwa mukali unaotokea usiku, wala hasara inayotokea muchana.


Musishangilie, enyi Wafilistini wote, kwamba Asuria, fimbo iliyowapiga, imevunjika; maana, nyoka wa kawaida atazaa nyoka mwenye sumu, na nyoka mwenye sumu atazaa nyoka mukubwa mwenye kuruka.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite