ZAKARIA 9:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Muji wa Askeloni utaona hayo na kuogopa, nao muji wa Gaza utagaagaa kwa uchungu; hata Ekroni, maana tumaini lake litatoweka. Gaza utapoteza mufalme wake, nao Askeloni hautakaliwa na watu. Gade chapit la |