Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




ZAKARIA 8:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Yawe wa majeshi akanitolea mimi Zakaria ujumbe huu:

Gade chapit la Kopi




ZAKARIA 8:18
5 Referans Kwoze  

Mutu yeyote asikusudie kumutendea mwenzake ubaya wala musiape uongo, maana ninayachukia sana matendo hayo. Ni mimi Yawe ninayesema hivyo.


Yawe wa majeshi anasema hivi: Siku za mafungo ya kula chakula ya mwezi wa ine, mwezi wa tano, mwezi wa saba na mwezi wa kumi, zitakuwa nyakati za furaha na shangwe; zitakuwa sikukuu za shangwe kwa watu wa Yuda. Basi, mupende ukweli na amani.


Yawe wa majeshi anasema hivi: Mujipe moyo! Sasa munayasikia maneno ambayo mulitangaziwa na manabii wakati musingi wa hekalu langu ulipowekwa kulijenga upya.


Katika Yerusalema kulikaa Wayuda wamoja waliotoka katika inchi zote za dunia, nao walikuwa watu wenye kuogopa Mungu.


Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao alitangulia kushuhudia mateso yatakayomupata Kristo na utukufu utakaokuwa nyuma. Nao walijitolea kusudi wapate kuvumbua wakati gani na kwa njia gani mambo haya yatafanyika.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite