Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




ZAKARIA 8:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Mbele ya wakati huo, watu hawakupata mushahara kwa kazi zao wala mali kwa ajili ya kutumikisha nyama. Hamukuwa na usalama kwa sababu ya waadui zenu, maana nilisababisha uadui kati ya watu wote.

Gade chapit la Kopi




ZAKARIA 8:10
11 Referans Kwoze  

Hata wakikamatwa mateka na waadui zao, nitatoa amri kule wauawe kwa upanga. Nitawachunga kwa uangalifu sana nipate kuwatendea mabaya na si mema.


Baragumu ya vita inalia katika muji bila kutia watu hofu? Muji unaweza kupatwa na hasara ambayo haikuletwa na Mungu?


Mimi nitawachonganisha Wamisri wao kwa wao. Ndugu atapigana na ndugu yake, jirani atapigana na jirani yake, muji mumoja na muji mwingine, mufalme mumoja na mufalme mwingine.


Nitaita wavuvi wengi kuja kuwanasa watu hawa. Kisha, nitaita wawindaji wengi kuja kuwawinda juu ya kila mulima, kila kilima na katika mapango ya chini ya mawe.


Kwenye visima vya maji, tangaza ushindi wa Yawe, ushindi kwa walimaji wake katika Israeli. Watu wa Yawe walishuka kwenye mulango wa muji.


Lakini sasa mufikiri vizuri juu ya mambo yatakayotukia. Mbele ya kuanza kujenga upya nyumba yangu,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite