Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




ZAKARIA 7:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Neno la Yawe lilimufikia Zakaria kusema hivi:

Gade chapit la Kopi




ZAKARIA 7:8
4 Referans Kwoze  

Haya ndiyo mambo ambayo mimi Yawe niliyowaambia kupitia kwa manabii wa zamani, wakati Yerusalema ulikuwa umestawi na wenye wakaaji tele, na wakati ambapo kulikuwa wakaaji wengi katika miji ya kandokando yake na katika eneo la Negebu na mabonde ya Sefela.


Yawe wa majeshi anasema hivi: Mutoe hukumu kwa haki, mutende mema na kuwa na huruma ninyi kwa ninyi.


Musa aliposikia hayo, akafurahi.


Hatukuwasikiliza watumishi wako manabii, ambao kwa jina lako walisema na wafalme wetu, wakubwa wetu, babu zetu na taifa letu lote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite