4 Basi, nikamwuliza yule malaika aliyeongea nami: Bwana, magari haya ya vita yana maana gani?
Basi, nikamwuliza: Bwana, farasi hawa wana maana gani? Malaika yule aliyesema nami akaniambia: Nitakuonyesha wale farasi wana maana gani.
Basi, nikamwuliza yule malaika aliyezungumuza nami: Wanakipeleka wapi kile kikapu?
Basi, nikamwuliza yule malaika: Bwana, vitu hivi vina maana gani?