ZAKARIA 4:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Tena, akaongeza kusema: Mulima huu ni kizuizi? Hapana! Wewe Zerubabeli utausawazisha. Wewe utaanzisha ujenzi mupya wa hekalu, na wakati utakapoliweka jiwe la mwisho, watu watashangilia wakisema: Ni zuri! Kweli, ni zuri! Gade chapit la |