5 Naye akanijibu: Haujui maana ya vitu hivi? Nikamujibu: Sijui bwana wangu.
Naye akaniambia: Haujui? Nami nikamujibu: Hapana, sijui Bwana!
Yesu akaongeza kuwaambia: “Kama musipoelewa mufano huu, namna gani mutaelewa mifano mingine?
Basi, nikamwuliza: Bwana, farasi hawa wana maana gani? Malaika yule aliyesema nami akaniambia: Nitakuonyesha wale farasi wana maana gani.
Lakini mimi sikufumbuliwa fumbo hili kwa sababu nina hekima kuliko wanadamu wengine, lakini kusudi wewe mufalme, upate kujulishwa maana ya ndoto yako na kujua mawazo yako.
Ufahamu wako unapita akili yangu; ni mukubwa sana, siwezi kuuelewa.
Yosefu akamujibu: “Sina uwezo ule; lakini Mungu atakupa jibu linalofaa.”
Yule malaika aliyeongea nami, akanifikia tena, akaniamusha kama vile kumwamusha mutu toka katika usingizi.
Basi, nikamwuliza yule malaika: Bwana, vitu hivi vina maana gani?