13 Naye akaniambia: Haujui? Nami nikamujibu: Hapana, sijui Bwana!
Naye akanijibu: Haujui maana ya vitu hivi? Nikamujibu: Sijui bwana wangu.
Basi, nikamwuliza yule malaika: Bwana, vitu hivi vina maana gani?
Na yale matawi mawili pembeni ya mirija miwili ya zahabu ambamo mafuta ya mizeituni yanatiririkia, yana maana gani?