Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




ZAKARIA 4:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Na yale matawi mawili pembeni ya mirija miwili ya zahabu ambamo mafuta ya mizeituni yanatiririkia, yana maana gani?

Gade chapit la Kopi




ZAKARIA 4:12
5 Referans Kwoze  

Wale washuhuda wawili ndiyo ile miti miwili ya mizeituni na vile vinara viwili vya kuwekea taa vinavyosimama mbele ya Bwana wa dunia.


Na Yesu akawaambia: “Hakika mutaubeba muzigo nitakaoubeba. Lakini kuikalisha mutu kwa upande wangu wa kuume au wa kushoto si kazi yangu. Ni Mungu peke yake atakayeweka watu aliowatayarisha kwenye nafasi zile.”


Katika mwaka wa pili wa utawala wa mufalme Dario wa Persia, siku ya kwanza ya mwezi wa sita, kwa njia ya nabii Hagai, neno la Yawe liliwafikia Zerubabeli mwana wa Saltieli pamoja na Kuhani Mukubwa Yoshua mwana wa Yosadaki kusema hivi:


Nami nikazidi kuuliza: Hiyo miti miwili ya mizeituni inayokuwa upande wa kuume na wa kushoto wa kinara, ina maana gani?


Naye akaniambia: Haujui? Nami nikamujibu: Hapana, sijui Bwana!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite