Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




ZAKARIA 4:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Yule malaika aliyeongea nami, akanifikia tena, akaniamusha kama vile kumwamusha mutu toka katika usingizi.

Gade chapit la Kopi




ZAKARIA 4:1
12 Referans Kwoze  

Basi, nikamwuliza: Bwana, farasi hawa wana maana gani? Malaika yule aliyesema nami akaniambia: Nitakuonyesha wale farasi wana maana gani.


Alipokuwa anazungumuza nami, mimi nikashikwa na usingizi muzito nikiwa nimelala uso mpaka chini. Lakini yeye akanishika na kunisimamisha.


Ndiyo maana mutu ataweza kusema hivi: Niliamuka nikatambua kwamba usingizi wangu ulinifalia sana.


Kwa wakati ule Petro na wenzake walikuwa wamewezwa sana na usingizi; lakini wakaamuka, wakaona ule utukufu wa Yesu na wale watu wawili waliokuwa wakisimama pamoja naye.


Kisha, Yawe akanionyesha wafuachuma wane.


Yawe akamupa yule malaika jibu jema na lenye matumaini.


Naye akanijibu: Haujui maana ya vitu hivi? Nikamujibu: Sijui bwana wangu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite