ZAKARIA 2:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Basi, huyo malaika aliyezungumuza nami akamwambia yule mwenzake: Kimbia umwambie yule kijana kwamba si lazima Yerusalema ukuwe na kuta, kama sivyo hapatakuwa nafasi ya kuwatoshelea wakaaji wake wengi na nyama watakaokuwa ndani yake. Gade chapit la |