3 Kisha, Yawe akanionyesha wafuachuma wane.
Yule malaika aliyeongea nami alinikaribia, akaniambia: Inua macho uone kile kinachokuja.
Naye akanijibu: Haujui maana ya vitu hivi? Nikamujibu: Sijui bwana wangu.
Yule malaika aliyeongea nami, akanifikia tena, akaniamusha kama vile kumwamusha mutu toka katika usingizi.
Nami nikauliza: Watu hawa wanakuja kufanya nini? Yeye akanijibu: Watu hawa wamekuja kuyatisha na kuyaangamiza yale mataifa yenye nguvu ambayo yaliishambulia inchi ya Yuda na kuwatawanya watu wake.