Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




ZAKARIA 2:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Nami nikamwuliza yule malaika aliyezungumuza nami: Pembe hizi zina maana gani? Yeye akanijibu: Pembe hizi zina maana ya yale mataifa ambayo yaliwatawanya watu wa Yuda, Israeli na Yerusalema.

Gade chapit la Kopi




ZAKARIA 2:2
10 Referans Kwoze  

Mutapima eneo la muji karibu na eneo takatifu, lenye urefu wa kilometre kumi na mbili na nusu kwa kilometre mbili na nusu. Hilo litakuwa kwa ajili ya mutu yeyote wa Israeli.


Nayo kamba ya kupima itanyooshwa moja kwa moja mpaka kwenye mulima Garebu, kisha itazungushwa mpaka Goa.


Kisha wakanipa fimbo ya kupima urefu na kuniambia: “Simama upime hekalu la Mungu pamoja na mazabahu na kuwahesabu watu wanaoabudu ndani yake.


Basi, nikamwuliza yule malaika aliyezungumuza nami: Wanakipeleka wapi kile kikapu?


Sasa ninarudi kwake yule aliyenituma na hakuna mumoja wenu anayeniuliza kwamba ninaenda wapi.


Basi, alinipeleka huko, nami nikamwona mutu aliyeonekana anaangaa kama shaba. Katika mikono yake mutu huyo alikuwa na kamba ya kitani ya kupima nayo pamoja na ufito wa kupima nao, naye alikuwa amesimama karibu na mulango.


Kwa hiyo, Yawe anasema hivi: Ninarudilia Yerusalema kwa huruma; humo itajengwa nyumba yangu, na ujenzi mupya wa muji utaanza. –Ni Yawe ya majeshi anayesema.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite