Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




ZAKARIA 2:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Katika maono mengine, niliona pembe ine.

Gade chapit la Kopi




ZAKARIA 2:1
12 Referans Kwoze  

Basi, alinipeleka huko, nami nikamwona mutu aliyeonekana anaangaa kama shaba. Katika mikono yake mutu huyo alikuwa na kamba ya kitani ya kupima nayo pamoja na ufito wa kupima nao, naye alikuwa amesimama karibu na mulango.


Kwa hiyo, Yawe anasema hivi: Ninarudilia Yerusalema kwa huruma; humo itajengwa nyumba yangu, na ujenzi mupya wa muji utaanza. –Ni Yawe ya majeshi anayesema.


Malaika yule aliyekuwa akisema nami alikuwa na fimbo ya kupima ya zahabu kusudi apate kupima muji ule, milango yake na ukuta unaouzunguka.


Kisha wakanipa fimbo ya kupima urefu na kuniambia: “Simama upime hekalu la Mungu pamoja na mazabahu na kuwahesabu watu wanaoabudu ndani yake.


Kisha akapima tena metre mia tano, akaniongoza kuvuka maji. Maji yakafika mpaka kwa magoti yangu. Akapima tena metre zingine mia tano, naye akaniongoza kuvuka maji. Maji yakafika mpaka kwenye kiuno changu.


Basi, huko, niliona hekalu nalo lilikuwa limezungukwa na ukuta upande wa inje. Yule mutu akatwaa ufito wake wa kupima ambao ulikuwa na urefu kwenda juu wa metre tatu, akapima ule ukuta. Ukuta huo ulikuwa na kimo cha metre tatu na unene wa metre tatu.


Nayo kamba ya kupima itanyooshwa moja kwa moja mpaka kwenye mulima Garebu, kisha itazungushwa mpaka Goa.


Yule mutu akapima kwa ufito wake, akapima metre mia tano kwenda chini upande wa mashariki, akanipitisha kwenye maji. Maji yalifika kwenye miguu tu.


Mimi ndiye niliyemwumba mufuaji wa vyuma, anayewasha moto wa makaa na kufua silaha. Ni mimi vilevile niliyemwumba mwangamizaji anayeangamiza.


Nguvu za Moabu zimevunjika na uwezo wake umevunjika. –Ni ujumbe wa Yawe.–


Kisha, katika maono hayo yangu ya usiku, nikaona nyama wa ine wa ajabu na wa kutisha, mwenye nguvu sana. Huyu alikuwa na meno makubwa ya chuma ambayo aliyatumia kwa kula na kuvunjavunja, na mabaki aliyakanyagakanyaga. Alikuwa tofauti na wale nyama wengine watatu, maana alikuwa na pembe kumi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite