ZAKARIA 13:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Sehemu mbili za tatu za watu katika inchi zitaangamizwa; ni sehemu moja ya tatu tu itakayobaki. Gade chapit la |
Mutawala huyo atafanya mapatano imara na watu wengi kwa muda wa miaka saba. Kisha nusu ya muda huo atakomesha sadaka za kuteketezwa kwa moto na sadaka zingine. Pahali pa juu katika hekalu patasimamishwa chukizo linaloleta uharibifu, nalo litabaki pale mpaka yule aliyemusimamisha atakapoangamizwa kama ilivyopangwa na Mungu.