ZAKARIA 13:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Yawe wa majeshi anasema hivi: Amuka, ee upanga! Simama umushambulie muchungaji wangu, muchungaji anayenitumikia. Umuue muchungaji na kondoo watawanyike. Nitaunyoosha mukono wangu kwa kuwashambulia watu wazaifu. Gade chapit la |