Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




ZAKARIA 13:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 lakini kila mumoja atasema: “Mimi si nabii. Mimi ni mulimaji tu; nimerizi mashamba tangu ujana wangu.”

Gade chapit la Kopi




ZAKARIA 13:5
3 Referans Kwoze  

Amosi akamujibu Amazia: Mimi si nabii wa mushahara, wala si mumoja wa kikundi cha manabii. Mimi ni muchungaji na mulimaji wa miti ya mikuyu.


Na mutu akimwuliza mumoja wao: “Vidonda hivi unavyokuwa navyo kwenye mikono yako vimetoka wapi?” Yeye atajibu: “Vidonda hivi nilivipata katika nyumba ya warafiki zangu.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite