5 lakini kila mumoja atasema: “Mimi si nabii. Mimi ni mulimaji tu; nimerizi mashamba tangu ujana wangu.”
Amosi akamujibu Amazia: Mimi si nabii wa mushahara, wala si mumoja wa kikundi cha manabii. Mimi ni muchungaji na mulimaji wa miti ya mikuyu.
Na mutu akimwuliza mumoja wao: “Vidonda hivi unavyokuwa navyo kwenye mikono yako vimetoka wapi?” Yeye atajibu: “Vidonda hivi nilivipata katika nyumba ya warafiki zangu.”