ZAKARIA 12:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Siku hiyo, ninasema mimi Yawe, nitamutia hofu kila farasi, na askari mupanda-farasi wake nitamufanya kuwa mwenda-wazimu. Farasi wa mataifa mengine nitawapofusha. Lakini kabila la Yuda nitalilinda. Gade chapit la |