Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




ZAKARIA 11:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Muomboleze, enyi misunobari, kwa sababu mierezi imeteketea. Miti hiyo mitukufu imeharibiwa! Enyi mialo ya Basani, muomboleze, kwa maana pori kubwa limekatwa!

Gade chapit la Kopi




ZAKARIA 11:2
12 Referans Kwoze  

Kwa maana wakifanya hivi kwangu mimi ninayekuwa kama muti mubichi, basi watafanya nini kwenu munaokuwa kama muti unaokauka?”


Ole kwenu ninyi munaostarehe kule Sayuni, nanyi munaoishi katika usalama kwenye mulima Samaria! Ninyi munaonekana kuwa waongozi wa taifa kubwa, ambao Waisraeli wote wanawategemea.


Hiyo nayo ilishuka kule katika kuzimu pamoja nao, ikajiunga na wale waliofungamana nao na ambao waliikaa chini ya kivuli chake.


Walitwaa miti ya mialo toka Basani wakakuchongea makasia; walikutengenezea mbao za kuikalia kwa miti ya misunobari ya kisanga cha Kipuro, na kuipamba kwa pembe ya tembo.


Fungua milango yako, ewe Lebanoni kusudi moto uiteketeze mierezi yako!


Sikia maombolezo ya watawala! Utukufu wao umeharibiwa! Sikia ngurumo za simba! Pori la muto Yordani limeharibiwa!


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite