ZAKARIA 11:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Maana nitaleta katika inchi muchungaji asiyemujali kondoo anayeangamia, au kumutafuta kondoo anayetangatanga, au kumutunza aliyeumizwa wala kumukulisha yule anayekuwa muzima: lakini atakula wale kondoo wanono, hata kwato zao. Gade chapit la |