Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




ZAKARIA 11:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Yawe akaniambia tena: Ujifanye tena kuwa muchungaji, lakini mara hii ukuwe kama muchungaji mupumbafu!

Gade chapit la Kopi




ZAKARIA 11:15
10 Referans Kwoze  

Ninyi wapumbafu! Si Mungu aliyeumba inje ya mutu ndiye aliyeumba ndani yake vilevile?


Ninyi wapumbafu na vipofu! Ni nini inayokuwa kubwa zaidi, zahabu au hekalu linaloifanya zahabu ile ihesabiwe kuwa takatifu?


Muwaache! Wao ni vipofu, wanaongoza vipofu wengine. Na kama kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, wote wawili wanatumbukia ndani ya shimo.”


Bwana wetu Yawe anasema hivi: Ole kwenu manabii wapumbafu munaofuata mawazo yenu wenyewe na maono yenu wenyewe!


Manabii wako wamekuonea maono madanganyifu. Hawakufichua wazi uovu wako kusudi wapate kukurudishia hali yako ya mbele. Lakini walikuonea maono ya uongo na ya kupotosha.


Ole wake muchungaji mupumbafu, ambaye anawaachilia kondoo wake! Upanga uukate mukono wake, na jicho lake la kuume liongolewe! Mukono wake upooze, jicho lake la kuume lipofuke.


Ole kwa wachungaji wanaowaangamiza na kusambaza kundi langu la kondoo! –Ni ujumbe wa Yawe.


Neno la Yawe lilinifikia kusema hivi:


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite