Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




ZAKARIA 11:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Kisha nikavunja ile fimbo yangu ya pili niliyoiita “Umoja” na hivyo nikauvunja umoja kati ya Yuda na Israeli.

Gade chapit la Kopi




ZAKARIA 11:14
14 Referans Kwoze  

Kwa maana pahali kunapokuwa wivu na roho ya ugomvi, kuko machafuko vilevile na kila tendo baya.


Lakini mukiwa na wivu wenye kuchangana na uchungu katika mioyo yenu pamoja na roho ya ugomvi, musijivune wala musigeuze maneno ya kweli kuwa uongo.


Lakini kama mukiumana na kukulana kama nyama wa pori, muangalie vizuri musiteketezane.


Kwa wakati ule watu wengi wataanguka katika imani yao; watatoana wao kwa wao na kuchukiana.


Basi, nikawaambia: “Sitakuwa muchungaji wenu tena. Atakayekufa akufe! Atakayeangamia aangamie! Na wale watakaobaki wakulane wao kwa wao.”


Basi, nikakuwa muchungaji wa kondoo ambao wachuuzi waliwatayarisha kwenda kuchinjwa. Nikatwaa fimbo mbili: moja nikaiita “Rehema”, na ingine nikaiita “Umoja”, nikaenda kuchunga kondoo.


Wivu wa Efuraimu juu ya Yuda utakoma, hakutakuwa tena uadui kati ya Yuda na Efuraimu.


Sitawahurumia tena wakaaji wa dunia. Nitamwacha kila mutu katika mikono ya mwenzake, na kila mwanainchi katika mikono ya mufalme wake. Nao wataiangamiza dunia, nami sitamwokoa mutu yeyote toka katika mikono yao. –Ni ujumbe wa Yawe.


Nitawafanya kuwa taifa moja katika inchi juu ya milima ya Israeli; mufalme mumoja atakuwa mufalme wao wote. Hawatakuwa tena mataifa mawili wala hawatagawanyika tena kuwa falme mbili.


Watu wa ufalme mumoja wakigombana wao kwa wao, ufalme ule utaanguka.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite