ZAKARIA 11:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Kisha nikawaambia: Kama mukipendezwa, munilipe mushahara wangu; lakini kama munaona sivyo, basi muache. Basi, wakanipimia vikoroti makumi tatu vya feza kwa mushahara wangu. Gade chapit la |