Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




ZAKARIA 1:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Basi, nikamwuliza: Bwana, farasi hawa wana maana gani? Malaika yule aliyesema nami akaniambia: Nitakuonyesha wale farasi wana maana gani.

Gade chapit la Kopi




ZAKARIA 1:9
17 Referans Kwoze  

Yule malaika aliyeongea nami alinikaribia, akaniambia: Inua macho uone kile kinachokuja.


Kisha, Yawe akanionyesha wafuachuma wane.


Nami nikazidi kuuliza: Hiyo miti miwili ya mizeituni inayokuwa upande wa kuume na wa kushoto wa kinara, ina maana gani?


Nikajongea karibu na mutu mumoja kati ya wale waliosimama pale na kumwuliza maana kamili ya mambo hayo yote. Naye akanielezea maana yake akisema:


Malaika wa Mungu akaongea nami katika ndoto hiyo, akaniita: ‘Yakobo’, nami nikaitika, ‘Niko hapa!’


Yawe akamupa yule malaika jibu jema na lenye matumaini.


Yule malaika aliyeongea nami, akanifikia tena, akaniamusha kama vile kumwamusha mutu toka katika usingizi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite