ZAKARIA 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Wakati wa usiku, nilimwona malaika akipanda juu ya farasi mwekundu. Malaika yule alikuwa akisimama katika bonde, katikati ya miti ya mihadasi. Nyuma yake kulikuwa farasi wengine wekundu, wa kijivujivu na weupe. Gade chapit la |