Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




ZAKARIA 1:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Katika siku makumi mbili na ine ya mwezi wa kumi na moja, ni kusema mwezi wa Sebati, mwaka wa pili wa utawala wa Dario, neno la Yawe lilimufikia nabii Zakaria mwana wa Berekia, mujukuu wa Ido. Zakaria akasema hivi:

Gade chapit la Kopi




ZAKARIA 1:7
4 Referans Kwoze  

Katika mwezi wa nane wa mwaka wa pili wa utawala wa mufalme Dario wa Persia, neno la Yawe lilimufikia nabii Zakaria mwana wa Berekia, mujukuu wa Ido kusema hivi:


Na hivi mutabeba lazima ya damu iliyomwangwa katika dunia pasipo kosa, tangia kuuawa kwa Abeli aliyekuwa mukamilifu mpaka kuuawa kwa Zakaria, mwana wa Barakia, muliyemwuia kwenye hekalu katikati ya Pahali Patakatifu na mazabahu.


Babu zenu hawakupata azabu kwa sababu ya kukataa maagizo yangu na amri nilizowapa kwa njia ya watumishi wangu manabii? Wakati huo, wao waligeuka na kusema kwamba: Yawe wa majeshi alikusudia kututendea kulingana na mienendo yetu na matendo yetu, na kweli ndivyo alivyotutendea.


Wakati wa usiku, nilimwona malaika akipanda juu ya farasi mwekundu. Malaika yule alikuwa akisimama katika bonde, katikati ya miti ya mihadasi. Nyuma yake kulikuwa farasi wengine wekundu, wa kijivujivu na weupe.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite