Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Zaburi 81:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Mumwimbie Mungu kwa sauti, maana ni nguvu yetu, mumushangilie Mungu wa Yakobo,

Gade chapit la Kopi




Zaburi 81:2
11 Referans Kwoze  

Ni vizuri kutangaza wema wako asubui, na uaminifu wako kwa wakati wa usiku,


Na walipokwisha kuimba wimbo, wakaondoka kwenda kwa mulima wa Mizeituni.


Basi nabii Miriamu, dada ya Haruni, akatwaa ngoma katika mukono, na wanawake wengine wote wakamufuata wakiwa na ngoma zao ndogo wakicheza.


Kati yenu kuna mutu anayekuwa katika mateso? Aombe kwa Mungu. Au kuna mutu anayekuwa katika furaha? Aimbe nyimbo za sifa.


Habari za Kristo zikae ndani yenu kwa uwingi. Mufundishane na mushauriane kwa hekima. Mumwimbie Mungu kwa moyo wenu wote na kumushukuru kwa zaburi na nyimbo za kiroho.


Munapoongea, museme maneno ya zaburi, mumusifu Bwana na kumwabudu kwa nyimbo za kiroho. Mumwimbie na kumushangilia kwa moyo wenu wote.


Waimbaji na wapiga baragumu wote pamoja walitoa sauti kwa pamoja na matoazi na vyombo vingine vya muziki, wakimusifu Yawe wakiimba: “Yeye ni muzuri. Wema wake unadumu milele.” Wakati ule nyumba ya Yawe ikajazwa na wingu.


Hao walifuatwa na Maseya, Semaya, Eleazari, Uzi, Yehohanani, Malkiya, Elamu na Ezeri. Waimbaji waliimba wakiongozwa na Yesirahia.


Lakini mimi nitaimba sifa za nguvu yako, nitashangilia asubui juu ya wema wako, maana wewe umekuwa kikingio changu, wewe ni kimbilio langu wakati wa taabu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite