Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Zaburi 102:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Ninalala macho wazi, kama ndege anayekuwa peke yake juu ya paa.

Gade chapit la Kopi




Zaburi 102:8
15 Referans Kwoze  

Mara nyingi niliwaazibu katika nyumba za kuabudia na kuwashurutisha wakane imani yao. Niliwakasirikia kupita kipimo, hata nikaenda kuwatesa katika miji ya inchi za kigeni.


Wajumbe wa Baraza Kubwa waliposikia maneno hayo, wakakasirika sana na kumusagia Stefano meno.


Kwa sababu jambo hilo litakalowapata, watu wote waliohamishiwa Babeli kutoka Yuda, watatumia mufano huu kwa kutoa laana: Yawe akufanye kama Zedekia na Ahabu, ambao mufalme wa Babeli aliwachoma katika moto.


Wale niliowachagua nitawapa jina jipya. Lakini ninyi jina lenu watalitumia kwa kulaani; watasema: Bwana wetu Yawe awaue.


Ee Bwana, ukumbuke matusi ya mutumishi wako, jinsi ninavyovumilia mazarau ya mataifa.


Wewe unajua ninavyotukanwa, unajua haya na matusi ninazopata; na waadui zangu wote wewe unawajua.


Unisikilize na kunijibu; nimechoka na malalamiko yangu.


Kwa nini mataifa yanafanya fujo? Mbona watu wanafanya shauri la bure?


Kwa maana hata Kristo hakufanya mambo yanayomupendeza mwenyewe sawa vile ilivyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Matusi wanayokutukana, yananiangukia.”


Lakini wale wakubwa wakakasirika sana, wakaanza kusemezana wao kwa wao juu ya namna watakavyomutendea Yesu.


Nami nilisema: “Unirehemu, ee Yawe, uniponyeshe, maana nimekukosea.”


Unanizuiza hata kupata usingizi, ninahangaika hata siwezi kusema.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite