Aliteremusha moto kutoka juu, ukanichoma hata ndani ya mifupa yangu. Alinitegea wavu akaninasa, kisha akanirudisha nyuma, akaniacha peke yangu na kuzimia muchana kutwa.
Usinigeuzie mugongo, usinikatae kwa hasira mimi mutumishi wako. Wewe umekuwa siku zote musaada wangu. Usinitupe wala usiniachilie, ee Mungu Mwokozi wangu.