Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Zaburi 102:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Usijifiche mbali nami wakati wa taabu! Unitegee sikio lako, unijibu upesi wakati ninapokuomba!

Gade chapit la Kopi




Zaburi 102:3
11 Referans Kwoze  

Ninyi hamujui namna gani maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Kwa maana ninyi ni kama muvuke unaoonekana kwa wakati kidogo, kisha unatoweka.


Aliteremusha moto kutoka juu, ukanichoma hata ndani ya mifupa yangu. Alinitegea wavu akaninasa, kisha akanirudisha nyuma, akaniacha peke yangu na kuzimia muchana kutwa.


Lakini waovu wataangamia, waadui za Yawe watanyauka kama maua katika jangwa; kweli watatoweka kama moshi.


Ngozi yangu inakuwa nyeusi na inachubuka, mifupa yangu inaungua kwa homa.


Unionee huruma, ee Yawe, niko katika taabu; macho yangu yamechoka kwa ajili ya huzuni, nimeishiwa nguvu katika mwili na roho.


Amenichakalisha ngozi na nyama, ameivunja mifupa yangu.


Nimekunjamana kama mufuko wa ngozi katika moshi, hata hivyo sijasahau masharti yako.


Mishale yako imenichoma; mukono wako umenigandamiza.


Usinigeuzie mugongo, usinikatae kwa hasira mimi mutumishi wako. Wewe umekuwa siku zote musaada wangu. Usinitupe wala usiniachilie, ee Mungu Mwokozi wangu.


Unitegee sikio, uniokoe haraka! Ukuwe kwangu kikingio na kimbilio, kusudi nipate kuokoka.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite