Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Zaburi 102:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Ee Yawe, usikie maombi yangu, na kilio changu kikufikie.

Gade chapit la Kopi




Zaburi 102:2
21 Referans Kwoze  

Ee Yawe, unijibu, unielekee, kwa uzuri wa wema wako, kwa wingi wa rehema yako.


Nitamungojea Yawe ambaye amejificha mbali na wazao wa Yakobo; nitamutumainia.


Usinigeuzie mugongo, usinikatae kwa hasira mimi mutumishi wako. Wewe umekuwa siku zote musaada wangu. Usinitupe wala usiniachilie, ee Mungu Mwokozi wangu.


Ukiwageuzia mugongo, wanaogopa; ukiondoa pumzi yao, wanakufa na kurudi ndani ya mavumbi walimotoka.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi inayoelekea sadaka yake ya ukumbusho.


Majaribu yale munayopata, ni yale yanayowapata watu wengine wote. Mungu hatawaachilia kujaribiwa kupita nguvu zenu, kwa maana yeye ni mwaminifu. Jaribu litakapowatokea, atawapatia nguvu ya kulivumilia, hata muweze kulishinda.


Ee Yawe, unijibu haraka; maana roho yangu imeregea kabisa! Usinigeuzie mugongo, kusudi nisikuwe kama wale wanaoshuka katika shimo la wafu.


Kwa haki yako uniokoe na kunikomboa; unitegee sikio lako na kuniokoa!


Mukipita katika maji, mimi nitakuwa pamoja nanyi; mukipita katika mito, haitawashinda nguvu. Mukitembea katika moto, hamutaungua; ulimi wa moto hautawaunguza.


Hatari zisizohesabika zinanizunguka, maovu yangu yananisonga hata siwezi kuona; ni mengi kuliko nywele zangu, nami nimevunjika moyo.


Kwako, ee Yawe, ninakimbilia. Usiniache nifezeheke hata kidogo; kwa haki yako, uniokoe.


Wanagawanya nguo zangu, na kuipigia kanzu yangu kura.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi.


Kama Mungu akinyamaza, nani anayeweza kumuhukumu? Kama akificha uso wake, nani anayeweza kumwona, ikiwa ni taifa au mutu mumoja?


Mbona haunisamehe kosa langu na kuniondolea uovu wangu? Hivi kisha muda kidogo nitalazwa chini katika mavumbi. Utanitafuta, lakini sitakuwa tena!


Hata mbele hawajaniita, mimi nitawaitikia; mbele hawajamaliza kusema, nitakuwa nimewajibu.


Nyuma ya muda murefu, mufalme wa Misri akakufa. Waisraeli wakaugua na kulia kutokana na hali yao ya utumwa na kilio chao kikamufikia Mungu juu.


Mungu akasikia kilio chao, naye akakumbuka agano alilofanya na Abrahamu, Isaka, na Yakobo.


Maombi ya Daudi. Ee Yawe, usikie ombi langu la haki, usikilize kilio changu, uyategee sikio maombi yangu yasiyokuwa ya udanganyifu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite