Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Zaburi 102:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Mataifa yataheshimu jina la Yawe; wafalme wote katika dunia wataogopa utukufu wake.

Gade chapit la Kopi




Zaburi 102:16
17 Referans Kwoze  

Nitawastawisha tena Wayuda na watu wa Israeli; nitawaimarisha kama walivyokuwa hapo zamani.


Yawe anajenga tena Yerusalema; anawarudisha Waisraeli waliopelekwa katika uhamisho.


Munawafukuza wake za watu wangu kutoka nyumba zao nzuri. Mumewaondolea watoto wao utukufu wangu milele.


Nitakurudisha katika hali mupya, ewe binti Israeli! Utazitwaa tena ngoma zako, nawe utajitokeza tena kwa kucheza na wenye shangwe.


Ninayajua matendo yao na mawazo yao. Ninakuja kuwakusanya watu wa mataifa yote na wa luga zote, wakusanyike pamoja na kuuona utukufu wangu.


na kuwapa wale wanaoomboleza katika Sayuni taji la maua pahali pa majivu juu ya kichwa, mafuta ya kuangarisha kwa furaha pahali pa maombolezo, nguo ya sifa pahali pa moyo muzito. Nao wataitwa miti ya mialo ya haki, Yawe aliyopanda kuonyesha utukufu wake.


Makundi ya nyama wa inchi ya Kedari yatakusanyika kwako, utaweza kuwatumia kondoo dume wa Nebayoti; utatoa sadaka inayokubaliwa kwenye mazabahu ya Mungu, naye ataitukuza nyumba yake tukufu.


Huu ndio uamuzi wa Yawe juu ya dunia yote; hii ndiyo azabu atakayotoa juu ya mataifa yote.


Mbingu zinatangaza haki yake; na mataifa yote yanauona utukufu wake.


Enyi mbingu na dunia, mumusifu Mungu; bahari na vyote vinavyokuwa ndani yenu, mumusifu.


Kweli wewe haupendezwi na sadaka. Hautaki nikutolee sadaka za kuteketezwa.


Toka magaribi mpaka mashariki, kila mutu atamwogopa Yawe na kutambua utukufu wake. Maana atakuja kama muto wenye kuporomoka mbio, muto unaosukumwa kwa upepo wa Yawe.


Mataifa watatembea katika mwangaza wako, wafalme watavutwa na kungaa kwako.


Alaaniwe mutu yeyote anayenidanganya, ambaye anaahidi kwa kiapo kunitolea sadaka ya nyama safi kutoka kundi lake, lakini ananitolea sadaka ya nyama mwenye kilema. Mimi ni mufalme mukubwa, na watu wa mataifa yote wananiogopa. –Ni Yawe wa majeshi anayesema hivyo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite