Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Zaburi 102:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Maisha yangu ni kama kivuli cha magaribi; ninanyauka kama majani.

Gade chapit la Kopi




Zaburi 102:12
15 Referans Kwoze  

Jina lako, ee Yawe, linadumu milele, utakumbukwa nyakati zote.


Lakini wewe Yawe unatawala milele, kiti chako cha kifalme kinadumu kwa vizazi vyote.


Uwaambie Waisraeli kwamba: Yawe, Mungu wa babu zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo, amekutuma kwao. Hili ndilo jina langu milele, na hivi ndivyo nitakavyokumbukwa katika vizazi vyote.


Yesu Kristo ni yule yule, jana, leo na hata milele.


Waadui wameangamia milele; umeiongoa miji yao, ukumbusho wao umetoweka.


Yawe, Mufalme na Mukombozi wa Israeli, Yawe wa majeshi anasema hivi: Mimi ni wa kwanza na wa mwisho; hakuna mungu mwingine isipokuwa mimi.


Wewe ulikuwa umeachwa na kuchukiwa, hakuna aliyependa hata kupita ndani yako. Lakini sasa nitakufanya ukuwe na utukufu milele, utakuwa muji wa furaha kwa kizazi na kizazi.


Mungu wa milele ndiye kimbilio lenu; nguvu yake inaonekana katika dunia. Aliwafukuza waadui mbele yenu; aliwaamuru: ‘Muwaangamize.’


Sisi ni watu wa juzijuzi tu, hatujui kitu; siku zetu katika dunia ni kivuli kinachopita.


Anachanua kama maua, kisha ananyauka. Anakimbia kama kivuli na kutoweka.


asubui yanachipuka na kuchanua, magaribi yamekwisha nyauka na kukauka.


Ninatoweka kama kivuli cha magaribi; nimepeperushwa kama nzige.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite