Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Zaburi 102:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Majivu yamekuwa chakula changu, machozi yanachangana na kinywaji changu,

Gade chapit la Kopi




Zaburi 102:10
16 Referans Kwoze  

Mishale yako imenichoma; mukono wako umenigandamiza.


tunateswa, lakini Mungu hatuachilii; tunatupwa chini, lakini hatuangamizwi.


Yawe anawashikilia wanyenyekevu, lakini anawaangusha waovu katika mavumbi.


Basi tunajua kama maneno yote yanayosemwa na Sheria, yanawaelekea wale wanaolazimishwa kutii Sheria, kusudi mutu yeyote asikuwe na namna ya kujitetea, na dunia nzima ipaswe kuhukumiwa na Mungu.


Taji tuliojivunia imeanguka. Ole kwetu maana tumetenda zambi!


Lakini Yawe amefanya sawa kwa maana nimeliasi neno lake. Munisikilize enyi watu wote, muyaangalie mateso yangu. Wabinti zangu na vijana wangu wanaume wamepelekwa katika utumwa.


Usiniazibu tena; ninamalizika kwa mapigo yako.


Mimi ni karibu ya kuanguka; ninakuwa na maumivu ya siku zote.


Lakini ukitaka kwenda, basi ufanye vile, ukuwe hodari katika vita, lakini Mungu atakufanya ushindwe na waadui, kwa maana Mungu ana nguvu kwa kusaidia au kumufanya mutu ashindwe.”


Machozi ni chakula changu muchana na usiku; ninaambiwa kila siku: “Mungu wako yuko wapi?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite