Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Zaburi 101:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Upotovu wowote ukuwe mbali nami; sitahusika kabisa na uovu.

Gade chapit la Kopi




Zaburi 101:4
15 Referans Kwoze  

Wenye nia mbaya ni chukizo kwa Yawe, lakini wenye mwenendo mukamilifu ni furaha yake.


Lakini musingi uliojengwa na Mungu, unasimama imara. Nayo maneno haya yamechapwa juu ya musingi ule “Bwana anajua wale wanaokuwa wake,” na haya mengine: “Kila mutu anayesema kwamba yeye ni wa Bwana anapaswa kujitenga na maovu.”


Halafu mimi nitawaambia hivi waziwazi: ‘Sikuwajua ninyi hata siku moja. Mutoke karibu nami, ninyi watenda maovu.’


Usifanye urafiki na mutu wa hasira, wala usiandamane na mwenye kukasirika upesi.


Achana na ujinga upate kuishi; fuata njia ya akili.”


Kumwogopa Yawe ni kuchukia uovu. Ninachukia kiburi, majivuno maisha mabaya, na luga mbaya.


Muondoke kwangu, enyi waovu, kusudi nipate kushika amri za Mungu wangu.


Maana waovu ni chukizo kwa Yawe, yeye anawafanya watu wa usawa kuwa warafiki zake.


Macho yangu yamechoka kwa huzuni; yamefifia kwa kutaabishwa na waadui.


Lakini wakanitia ndani ya kitunga na kunishusha kwenye ukuta wa muji, tokea ndani ya dirisha, nami nikapata kuponyoka.


Sikusanyiki na watu wapotovu; sishirikiani na watu wanafiki.


Ninachukia mikutano ya wabaya; wala sitakusanyika na waovu.


Mwovu ni chukizo kwa mwenye haki, naye mwenye haki ni chukizo kwa mwovu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite