Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Zaburi 101:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Zaburi ya Daudi. Wimbo wangu unaelekea wema na haki; ninauimba kwa heshima yako, ee Yawe.

Gade chapit la Kopi




Zaburi 101:1
14 Referans Kwoze  

Mashairi ya Etani, Mwezra.


Watatangaza sifa za uzuri wako mwingi, na kuimba juu ya haki yako.


Unirudishie furaha ya wokovu wako, uniimarishe kwa Roho wako mwema.


Watu wa Sayuni wanasikia hayo na kufurahi; watu wa Yuda wanashangilia kwa ajili ya hukumu zako, ee Mungu.


Basi ufikiri juu ya wema wa Mungu na ukali wake vilevile. Yeye ni mukali kwa wale walioanguka, lakini yeye ni mwema kwako, ikiwa utaendelea katika wema wake. Kama si vile, wewe vilevile utakatwa.


Ni vizuri kukushukuru, ee Yawe, kuliimbia jina lako sifa, ee Mungu Mukubwa.


Mungu amekuonyesha yanayokuwa mema, ewe mwanadamu; kitu Yawe anachotaka kwako ni hiki: kutenda mambo ya haki, kupenda kuwa na huruma, na kuishi kwa unyenyekevu mbele ya Mungu wako.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite