Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 9:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Lakini viongozi wa Waisraeli wakawaambia watu wao: “Kwa vile tumewaapia kwa jina la Yawe, Mungu wa Israeli, sasa hatuwezi kuwazuru.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 9:19
5 Referans Kwoze  

Mimi ninasema hivi: tii amri ya mufalme. Kwa sababu ya kiapo chako kitakatifu, usikate tamaa.


ukiapa kwa ukweli, kwa kufuatana na sheria, na kwa haki, kwa kusema “Kama vile Yawe anavyoishi”, halafu mataifa yatapata baraka kutoka kwangu, na kutukuzwa kwa sababu yangu.


maana mwisho uleule unawapata wenye haki na waovu, wazuri na wabaya, wanaohesabiwa kuwa safi na wachafu, wenye kutoa sadaka na wasiotoa sadaka. Mutu muzuri ni sawa tu na mwenye zambi, na mwenye kuapa si tofauti na asiyeapa.


Tutawaacha waishi, kusudi tusipate kuazibiwa kwa sababu ya kiapo tulichofanya.


Lakini Waisraeli hawakuwaua, maana viongozi wa Waisraeli walikuwa wamewaapia kwa jina la Yawe, Mungu wa Israeli. Hivyo basi, Waisraeli wote wakawanungunikia viongozi wao.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite