Yoshua 9:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
18 Lakini Waisraeli hawakuwaua, maana viongozi wa Waisraeli walikuwa wamewaapia kwa jina la Yawe, Mungu wa Israeli. Hivyo basi, Waisraeli wote wakawanungunikia viongozi wao.
maana mwisho uleule unawapata wenye haki na waovu, wazuri na wabaya, wanaohesabiwa kuwa safi na wachafu, wenye kutoa sadaka na wasiotoa sadaka. Mutu muzuri ni sawa tu na mwenye zambi, na mwenye kuapa si tofauti na asiyeapa.
Mufalme alimwacha Mefiboseti mwana wa Yonatani kwa sababu ya kiapo ambacho Daudi na Yonatani mwana wa Saulo walikuwa wamefanya kati yao kwa jina la Yawe.