Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yoshua 8:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Basi, Yoshua akaondoka, pamoja na waaskari wake wote kwenda Ai. Akawachagua watu hodari elfu makumi tatu na kuwaambia watangulie wakati wa usiku.

Gade chapit la Kopi




Yoshua 8:3
10 Referans Kwoze  

Kwa maana munajua ninyi wenyewe kwamba siku Bwana atakaporudia, itatimia kwa saa musiyozania kama vile mwizi anavyokuja usiku.


“Ilipokuwa katikati ya usiku, kelele likasikilika, likisema: ‘Angalia, bwana-arusi anakuja! Muondoke kwenda kumupokea!’


Basi bwana wa mutumishi yule atakuja siku asiyozania na saa asiyojua.


Nao hawakutambua kitu mpaka mvua kubwa sana ilipotokea, na kuwaua wote. Na ni hivi itakavyokuwa wakati Mwana wa Mutu atakaporudi.


Siku Bwana atakaporudi, itatimia kama vile mwizi anavyokuja. Siku ile mbingu zitatoweka kwa shindo kubwa, na viumbe vyote vinavyoangaza katika mbingu vitayeyuka. Dunia na vitu vyote vinavyokuwa ndani yake vitateketezwa.


Mutautendea muji wa Ai pamoja na mufalme wake kama vile mulivyoutendea muji wa Yeriko pamoja na mufalme wake. Mali zake pamoja na nyama wake mutakayoteka itakuwa ni mali yenu. Muende muushambulie muji kutoka upande wa nyuma.”


Akawaamuru hivi: “Ninyi mutauvizia muji kutoka upande wa nyuma. Musiende mbali na muji, lakini mukuwe tayari wakati wote.


Musa akamwambia Yoshua: “Chagua wanaume uende upigane na Waamaleki. Kesho nitasimama juu ya kilele cha kilima, nikishika katika mukono wangu ile fimbo ya Mungu.”


Basi, Yoshua pamoja na jeshi lake lote na mashujaa wakaondoka Gilgali.


Basi, rudi wewe na watu unaokuwa nao, wakati wa usiku, uvizie katika mashamba karibu na muji.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite